Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF)

Tufuatilie kupitia kipindi cha Redio

21 January, 2025

Tufuatilie kupitia kipindi cha Redio cha Sauti za Asubuhi kinachorushwa na Shalom Redio Arusha (97.3Mhz) tukizungumzia maendeleo ya utekelezaji wa ujenzi wa minara 758 Kanda ya Kaskazini.

 

MUDA: Kuanzia saa mbili asubuhi siku ya Jumatano tarehe 22 Januari, 2025.

Je, una swali lolote kuhusu Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF)? Faili Maoni na Malalamiko! Universal Communications Service Access Fund Ripoti Hapa
Tuma malalamiko na mrejesho wako