Kuunganisha shule na mtandao wa intaneti

  • 14 September, 2021
Kuunganisha shule na mtandao wa intaneti

Mradi huu unalenga kuanzisha au kuboresha maabara za kompyuta katika shule za Serikali ikiwa ni pamoja na kuzipatia shule vifaa vya TEHAMA na kuziunganisha kwenye mtandao wa intaneti ili kuwapa wanafunzi nafasi ya kujifunza kutumia vifaa hivyo katika hatua za awali ili kuwajengea wanafunzi maarifa, ujuzi na ushindani. Hadi sasa jumla ya shule 811 zimepatiwa vifaa ikiwemo kompyuta na printa.