Bi. Justina Mashiba

Justina Mashiba photo
Bi. Justina Mashiba
Mtendaji Mkuu

Barua pepe: ceo@ucsaf.go.tz

Simu: +255 26 2965771

Wasifu

Ni Afisa Mtendaji Mkuu na mjumbe wa Bodi ya Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF), ambayo ni taasisi ya umma iliyoanzishwa kwa lengo la kupeleka na kufanikisha huduma ya mawasiliano kwa wananchi waishio katika maeneo machache ya mijini, na maeneo mengi yaliyo mbali vijijini yasiyo na mvuto wa kibiashara kwa watoa huduma ya mawasiliano.