Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF)

Tufuatilie kupitia kipindi cha Redio

22 January, 2025

Tufuatilie kupitia kipindi cha Redio cha Dodoma Live kinachorushwa na Dodoma FM Redio, Dodoma (98.4Mhz) tukizungumzia maendeleo ya utekelezaji wa ujenzi wa minara 758 Kanda ya Kati.

MUDA: Kuanzia saa 2:30 asubuhi siku ya Alhamis tarehe 23 Januari, 2025.

Je, una swali lolote kuhusu Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF)? Faili Maoni na Malalamiko! Universal Communications Service Access Fund Ripoti Hapa
Tuma malalamiko na mrejesho wako