Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF)

MRADI WA MINARA 758 KUSHINDANIA TUZO ZA WSIS 2026

01 May, 2026

Serikali kupitia UCSAF imetekeleza mradi wa ujenzi wa minara 758, ambao umeunganisha vijiji 1,400 na kuwafikia zaidi ya wananchi milioni 8.5, ukibadilisha maisha kupitia mawasiliano ya uhakika vijijini.

Sasa unaiwakilisha Tanzania katika Tuzo za WSIS 2026. Unga mkono ushindi huu kwa kupiga kura na kuonyesha nguvu ya maendeleo ya kidijitali kwa wote.

Jinsi ya kupigia kura mradi huu Tumia link hii👇kujisajili na kupiga kura.

https://www.itu.int/net4/wsis/stocktaking/Prizes/2026/Vote?jts=T9UKMM

KIPENGELE CHA MRADI: AL C2. INFORMATION AND COMMUNICATION INFRASTRUCTURE

JINA LA MRADI: CONSTRUCTION OF 758 TELECOM TOWERS UNDER DIGITAL TANZANIA PROJECT.

▶️Kisha VOTE FOR THIS PROJECT. 

MWISHO WA KUPIGA KURA NI TAREHE 3 MAY, 2026

Piga kura sasa tuwakilishe Tanzania kimataifa!

Je, una swali lolote kuhusu Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF)? Faili Maoni na Malalamiko! Universal Communications Service Access Fund Ripoti Hapa
Tuma malalamiko na mrejesho wako